Na Johnson Jabir
SOMIJO, MBEYA
Siku zote kila kitu huanza kama mchicha, pia hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
Hivyo kila kitu ukifanyacho dhamiria kuweka alama au ukumbusho katika dunia hii ambayo ina mwisho na wewe kama mwanadamu una mwisho
Kumbuka Muda sio rafiki wa mwanadamu hususani Mjasirialimali kama mimi na wewe.
No comments:
Post a Comment