Mbeya Institute Of Journalism (MIJO) inakukaribisha katika mwaka wa masomo wa Februari hadi Desemba 2010



Serikali ya Wanafunzi ya Chuo (SOMIJO) inakukaribisha kwa moyo mkunjufu katika tasnia hii ya Uandishi wa Habari zilizojawa na ukweli zenye kuleta maendeleo kwa mwananchi husika na taifa kwa ujumla.

Thursday, March 11, 2010

MUDA SIO RAFIKI YETU

Na Johnson Jabir
SOMIJO, MBEYA


Siku zote kila kitu huanza kama mchicha, pia hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
Hivyo kila kitu ukifanyacho dhamiria kuweka alama au ukumbusho katika dunia hii ambayo ina mwisho na wewe kama mwanadamu una mwisho

Kumbuka Muda sio rafiki wa mwanadamu hususani Mjasirialimali kama mimi na wewe.

No comments:

Post a Comment