Mbeya Institute Of Journalism (MIJO) inakukaribisha katika mwaka wa masomo wa Februari hadi Desemba 2010
Serikali ya Wanafunzi ya Chuo (SOMIJO) inakukaribisha kwa moyo mkunjufu katika tasnia hii ya Uandishi wa Habari zilizojawa na ukweli zenye kuleta maendeleo kwa mwananchi husika na taifa kwa ujumla.
Saturday, April 10, 2010
HABARI ZA PASAKA
Na Godfrey Msomba MIJO
SIKU zote mwanadamu huhitaji kupumzika ili siku inayofuata aweze kufanya vizuri zaidi ya jana hivyo naamini hata wewe umepumzika vya kutosha ili ufanye leo vizuri
No comments:
Post a Comment